Maneno ya vijiweni

1 eti Jose ndio pah imewekwa milioni mbili mezani umpige viboko viwili baba yako utampiga 😁😁

2 hapa ndio anatokea jini mtakimbilia wapi šŸ˜†šŸ˜†

3 ukiambiwa ulambe kisu kwenye makali alafu upewe nyumba na gali utakubali šŸ˜†šŸ˜†

4 simba na yanga hizi ni timu za selikari sema tu serikali kali aijionyeshi 😁😁

5 Bakhresa zile pesa zake sio kama mo za kurithi ndio maana m bahili šŸ˜†šŸ˜†

6 yaani sisi watanzania wa shamba sana mambo kama haya ulaya hakuna šŸ˜†šŸ˜†

7 kuchanja sio lazima na wakitaka tuchanje wagawe hela na sio hela tu watununulie na viwanja kabisa 😁😁

Leave a comment

Design a site like this with WordPress.com
Get started